CHADEMA

Wilaya ya Kigamboni

Habari / Makala Mpya Zaidi

Tangazo La Uchaguzi

“Katibu Mkuu anawatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari, 2025. Fomu za kuomba kugombea nafasi za uongozi ngazi ya Taifa zinapatikana ofisi za Makao Makuu ya Chama, Makao Makuu ya Mabaraza, Ofisi za Kanda, Ofisi za Chama za Mikoa na Wilaya kuanzia tarehe 17/12/2024.” Mhe. @jjmnyika

Makala mbali mbali

Kuhusu chama

 Chama chetu kinaunganisha Watanzania wote kwa ajili ya mustakabali bora wa nchi yetu.

Kuhusu mabaraza

Mabaraza yetu yanawawezesha wanachama wetu kushiriki kikamilifu katika uongozi wa chama

Kuhusu Wanachama

Wanachama wetu ni msingi imara wa chama chetu, wakitupa nguvu ya kufanya mabadiliko.

Chadema kigamboni

You have been successfully Subscribed! Ops! Something went wrong, please try again.

MAWASILIANO

Info@kandayapwani.com

+123456789

1720, Kigamboni, Dar es salaam, Tanzania

© 2024 Chadema Tanzania

Scroll to Top