“Katibu Mkuu anawatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari, 2025. Fomu za kuomba kugombea nafasi za uongozi ngazi ya Taifa zinapatikana ofisi za Makao Makuu ya Chama, Makao Makuu ya Mabaraza, Ofisi za Kanda, Ofisi za Chama za Mikoa na Wilaya kuanzia tarehe 17/12/2024.” Mhe. @jjmnyika